Vyama vya wasanii Tanzania
Katika kitendawili kinachoendelea katika tasnia ya muziki ni swala la vyama vya wasanii. Kuna aina nyingi ya vyama, vya kitaaluma kama vile Chama cha wapiga bezi au cha wapiga trumpet, vyama vya aina...
View ArticleKamatakamata ya Alex Msama, mfano wa kuigwa
Katika wiki za karibuni kumekuweko na jitihada za kipekee za Alex Msama na kampuni yake kufanya kamatakamata ya watu wanaouza kazi za muziki zisizohalali. Hili ni jambo la kupongezwa ambalo lingeigwa...
View ArticleVITA VYA PANZI FURAHA YA KUNGURU
@font-face { font-family: "Cambria"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size: 12pt; font-family: "Times New Roman"; }div.Section1 { page: Section1; } Tunaibiwa...
View ArticleWanamuziki wawili wafiwa na baba zao wiki hii
Tom NhigulaKarola KinashaMwanamuziki Carola Kinasha na Tom Nhigula wamefiwa na baba zao katika wiki hii. Mzee Nhighula amezikwa makaburi ya Kinondoni, wakati Mzee Kinasha atazikwa baadae wiki hii...
View ArticleSI BUSARA KUUZA MASTER KWA MSAMBAZAJI
A@font-face { font-family: "Times"; }@font-face { font-family: "Cambria"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size: 12pt; font-family: "Times New Roman";...
View ArticleShamba la bibi
@font-face { font-family: "Arial"; }@font-face { font-family: "Cambria"; }@font-face { font-family: "lucida grande"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size:...
View ArticleZijue Haki katika Hakimiliki
@font-face { font-family: "Times"; }@font-face { font-family: "Cambria"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size: 12pt; font-family: "Times New Roman";...
View ArticleMatumizi ya majina katika Hakimiliki
Hakimiliki haitoi haki katika matumizi ya majina. Swala la majina linakuja katika tawi jingine la sheria za Milikibunifu linaloitwa Tradenames au majina ya biashara. Brela iliyoko chini ya Wizara ya...
View ArticleWARAKA WA KWANZA WA MAC TEMBA
Salaam nyingi kweni nyi wote wapenzi wa muziki hapa Bongo,leo kamanda wenu Mac Temba aka mwanaharakati wa Anti virus nataka kuwapa tafsiri na kuweka mambo sawa yote kuhusiana na mambo kibao...
View ArticleJifunze Hakimiliki na Hakishiriki
Nawaletea mfululizo wa makala za mafunzo ya Hakimiliki na Hakishiriki. Waandishi mnaruhusiwa kunukuu makala hizi ili ziweze kusambaa kwa wingi kadri iwezekanavyo1) Nini madhumuni ya ulinzi wa...
View ArticleMheshimiwa Waziri Dr E Nchimbi, Serikali haina nia thabiti kumaliza wizi wa...
Kwa MheshimiwaWaziri wa Habari, Utamaduni na Michezo.WIZI WA KAZI ZA SANAA.Mheshimiwa nategemea usalama na unaendelea vizuri na kazi. Mimi si mgeni kwako, nimeshafika ofisini kwako tukaongea mengi...
View ArticleJifunze Hakimiliki na Hakishiriki (II)
3) Hakimiliki inapatikana vipi?Hakimiliki hupatikana na kuanza kulindwa mara kazi inapokuwa katika hali ya kuweza kushikika bila kuweko na taratibu zozote za usajili. Kwa njia hii kutambulika kwa...
View ArticleJifunze Hakimiliki na Hakishiriki (III)
6) Je unaweza kutumia kazi yenye hakimiliki bila kupata ruhusa?Hakimiliki huruhusu matumizi yasiyohitaji ruksa. Katika nchi yetu matumizi binafsi yanaruhusiwa bila kupata ruksa. Kwa mfano ukitaka...
View ArticleHakishiriki ni nini?
Hakishiriki ni haki wanazopewa wadau ambao si watunzi lakini ushiriki wao umewezesha kazi ya mtunzi kufika au kuonekana hadharani. Kati ya hao ni wale ambao wanaotengeza kusambaza na kuziweka hadharani...
View ArticleZijue Performing na Mechanical Rights katika muziki
Ukitunga wimbo na ukiiweka katika hali ya kushikika mara hiyo unaanza kupata haki zote za wimbo huo. Wimbo ni mali itokananyo na ubunifu hivyo moja kwa moja unapata haki zinazostahili kutokana na mali...
View ArticleKatika bendi, wimbo mali ya nani?
Kwa wafuatiliaji wa mambo ya muziki watakumbuka kuwa si mara moja ambapo kumekuweko na uvutano wa nani mwenye wimbo hasa pale ambapo mtunzi kwa sababu moja au nyingine kahama bendi. Nakumbuka niliwahi...
View ArticleHAKI ZA MWANAMUZIKI KATIKA RINGTONE BADO NI UTATA MKUBWA
KUNA TATIZO KUBWA AMBALO LIPO KATIKA BIASHARA YA MATUMIZI YA MUZIKI KWA AJILI YA RINGTONES. KUNAUSIRI MKUBWA, TATIZO KUBWA NI WASANII WENYEWE KUTOKUWA NA MSIMAMO KATIKA HILI.TAAARIFA HII ILIYOKO KATIKA...
View ArticleWasanii watoa tangazo la kusitisha matumizi ya kazi zao
YAH: KUFUTA MIKATABA NA KUSIMAMISHA KUUZA MUZIKI WA BONGO FLEVA,GOSPEL,DANSI NA TAARABU KWENYE MITANDAO YA SIMU.Husika na kichwa cha habari hapo juu,Kwa ujumla wetu sisi Wasanii toka Tanzania...
View Article